Saturday, October 2, 2010

mastaa watikisa jukwaa la usiku wa kanga za kale jana usiku Diamond Jublee


Mwimbaji mahiri wa taarabu hapa nchini,Khadija Kopa akiburudisha usiku huu kwenye usiku wa onesho la kanga za kale ambalo limefana kwa kiasi kikubwa,chini ya udhamini mkubwa wa bia ya Tusker.
Muaandaaji wa onesho la Kanga za kale Mama Asia Idarous Khamsini akikatiza jukwaani na Mumewe Mzee Khamsini kuwashukuru wageni waalikwa waliofika kwenye onesho hilo usiku huu.
Mama Asia Idarous Khamsini akikatiza jukwaaani na baadhi ya mamodo waliovaa mavazi aliyoyabuni mbele ya wageni waalikwa.
Msataa mbalimbali walioshiriki katika onesho hili lilifana sana usiku huu wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kuatiza jukwaaani na mavazi yao mbalimbali ya kanga.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Baby Madaha akiwa na madansa wakiwaburudisha wageni waalikwa waliofika kwenye usiku huu wa kanga za kale,ambali limefana kwa kiasi kikubwa.

No comments:

Post a Comment